Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Ezekieli 24:15-18 in Swahili (individual language)

Help us?

Ezekieli 24:15-18 in Biblia ya Kiswahili

15 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
16 “mwanadamu! Tazama, ninachukua tamaa ya macho yako kutoka kwako pamoja na tauni, lakini hutaomboleza wala kulia, na machozi yako hayatatoka.
17 Utagugumia bila kusikika. Usiendeshe mazishi kwa ajili ya aliyekufa. Funga kilemba chako juu yako na vaa makubazi miguuni pako, lakini usivalishe shela nywele zako au kula mkate wa watu waombolezao kwa ajili ya kuwapoteza wake zao.”
18 Hivyo nimeongea na watu asubuhi, na mke wangu amekufa asubuhi. Asubuhi nimefanya kile nilichokuwa nimeambiwa kukifanya.
Ezekieli 24 in Biblia ya Kiswahili