Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

2 Wafalme 20:2-4 in Swahili (individual language)

Help us?

2 Wafalme 20:2-4 in Biblia ya Kiswahili

2 Kisha Ahazi akageuza uso wake kwenye ukuta na kumuomba Yahwe, akisema,
3 “Tafadhali, Yahwe, ukumbuke jinsi nilivyo mwaminifu kutembea mbele yako kwa moyo wangu wote, na jinsi nilivyofanya yaliyo mazuri usoni kwako.” Kisha Hezekia akalia kwa sauti.
4 Kabla ya Isaya hajatoka nje kwenye mji wa kati, neno la Yahwe likamjia, kusema,
2 Wafalme 20 in Biblia ya Kiswahili