Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

1 Wathesalonike 2:13 in Swahili (individual language)

Help us?

1 Wathesalonike 2:13 in Biblia Takatifu

13 Tena tunayo sababu nyingine ya kumshukuru Mungu: tulipowaleteeni ujumbe wa Mungu, ninyi mliusikia mkaupokea, si kama vile ujumbe wa binadamu, bali kama ujumbe wa Mungu, na kweli ndivyo ulivyo. Maana Mungu anafanya kazi ndani yenu ninyi mnaoamini.
1 Wathesalonike 2 in Biblia Takatifu

1 Wathesalonike 2:13 in Biblia ya Kiswahili

13 Kwa sababu hiyo twamshukuru Mungu pia kila wakati. Kwa kuwa wakati mlipo pokea kutoka kwetu ujumbe wa Mungu mliosikia, mlipokea si kama neno la wanadamu. Badala yake, mlipokea kama kweli ilivyo, neno la Mungu. Ni neno hili ambalo linalofanya kazi kati yenu mnaoamini.
1 Wathesalonike 2 in Biblia ya Kiswahili