9 Yeye aliye liumba sikio, hasikii? Yeye aliye litengeneza jicho, haoni?
10 Yeye awaadhibuye mataifa, hayuko sahihi? Yeye ndiye ampaye maarifa mwanadamu.
11 Yahwe anayajua mawazo ya wanadamu, kuwa ni mvuke.
12 Amebarikiwa yule ambaye umuongozaye, Yahwe, yule ambaye wewe humfundisha kutoka katika sheria yako.