Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 89:7-12 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 89:7-12 in Biblia ya Kiswahili

7 Ni Mungu anaye heshimiwa sana katika baraza la watakatifu naye ni wakutisha kati ya wote wanao mzunguka.
8 Yahwe, Mungu wa majeshi, ni nani aliye na nguvu kama wewe, Yahwe? Kweli yako inakuzunguka.
9 Wewe huitawala bahari yenye nguvu; mawimbi yainukapo, wewe huyatuliza.
10 Ulimwangamiza Rahabu kama mmoja aliye uliwa. Uliwatawanya adui zako kwa mkono wako wenye nguvu.
11 Mbingu ni zako wewe, na nchi pia. Uliiumba dunia na vyote vilivyomo.
12 Uliumba kaskazini na kusini. Tabori na Hermoni hulifurahia jina lako.
Zaburi 89 in Biblia ya Kiswahili