Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 89:21-26 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 89:21-26 in Biblia ya Kiswahili

21 Mkono wangu utamsaidia yeye; mkono wangu utamtia nguvu.
22 Hakuna adui atakaye mdanganya; hakuna mwana wa uovu atakaye muonea.
23 Nitawaangamiza adui zake mbele yake; nitawaua wale wamchukiao.
24 Kweli yangu na uaminifu wa agano vitakuwa pamoja naye; kupitia jina langu atakuwa mshindi.
25 Nitaweka mkono wake juu ya bahari na mkono wake wa kuume juu ya mito.
26 Yeye ataniita, 'Wewe ni Baba yangu, Mungu wangu, na mwamba wa wokovu wangu.'
Zaburi 89 in Biblia ya Kiswahili