Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 89:17-24 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 89:17-24 in Biblia ya Kiswahili

17 Wewe ni fahari ya nguvu zao, na kwa nguvu zako tu washindi.
18 Maana ngao zetu ni za kwako Yahwe; mfalme wetu ni wa Mtakatifu wa Israeli.
19 Muda mrefu uliopita ulizungumza na waaminfu wako katika maono; ulisema, “Nimeweka taji juu ya mwenye nguvu; nimemuinua aliyechaguliwa kutoka kati ya watu.
20 Nimemchagua Daudi mtumishi wangu; kwa mafuta yangu matakatifu nimempaka yeye.
21 Mkono wangu utamsaidia yeye; mkono wangu utamtia nguvu.
22 Hakuna adui atakaye mdanganya; hakuna mwana wa uovu atakaye muonea.
23 Nitawaangamiza adui zake mbele yake; nitawaua wale wamchukiao.
24 Kweli yangu na uaminifu wa agano vitakuwa pamoja naye; kupitia jina langu atakuwa mshindi.
Zaburi 89 in Biblia ya Kiswahili