Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 88:8-14 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 88:8-14 in Biblia ya Kiswahili

8 Kwa sababu yako, wale wanijuao wote hunikwepa. Umenifanya wakutisha machoni pao. Nimefungwa na siwezi kutoroka.
9 Macho yangu yamefifia kutokana na shida; kila siku nakuita wewe, Yahwe; ninakunyoshea wewe mikono yangu.
10 Je! utafanya miujiza kwa ajili ya wafu? Wale waliokufa watafufuka na kukusifu wewe? Selah
11 Uaminifu wa agano lako utatangazwa kaburini? au uaminifu wako mahali pa wafu?
12 Matendo yako ya ajabu yatajulikana gizani? au haki yako katika mahali pa usahaulifu?
13 Lakini ninakulilia wewe, Yahwe; wakati wa asubuhi maombi yangu huja kwako.
14 Yahwe, kwa nini unanikataa? Kwa nini unauficha uso wako mbali nami?
Zaburi 88 in Biblia ya Kiswahili