Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 81:11-16 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 81:11-16 in Biblia ya Kiswahili

11 Lakini watu wangu hawakusikiliza maneno yangu; Israeli hawakunitii.
12 Nikawaacha waende katika katika njia yao wenyewe ya ukaidi ili kwamba waweze kufanya kinachoonekana sahihi kwao.
13 Oh, laiti watu wangu wangenisikiliza mimi; oh, watu wangu wangelitembea katika njia yangu.
14 Kisha ningewatiisha adui zao haraka na kugeuzia mkono wangu dhidi ya watesi wao.
15 Wale wanaomchukia Yahwe katika hofu na waanguke chini mbele zake! Wawe wanyonge milele.
16 Ningewalisha Israeli kwa ngano bora; Ningewatosheleza kwa asali itokayo mwambani.”
Zaburi 81 in Biblia ya Kiswahili