Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 78:64-68 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 78:64-68 in Biblia ya Kiswahili

64 Makuhani wao waliangushwa kwa upanga, na wajane wao hawakulia.
65 Kisha Bwana aliamshwa kama aliyetoka usingizini, kama shujaa apigaye kelele kwa sababu ya mvinyo.
66 Aliwarudisha adui zake nyuma; aliwaweka kwenye aibu ya milele.
67 Aliikataa hema ya Yusufu, na hakulichagua kabila la Efraimu.
68 Alilichagua kabila la Yuda na Mlima Sayuni aliyoupenda.
Zaburi 78 in Biblia ya Kiswahili