Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 78:56-59 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 78:56-59 in Biblia ya Kiswahili

56 Lakini bado walimjaribu na walimkaidi Mungu Aliye Juu na hawakushika amri zake takatifu.
57 Hawakuwa waaminifu na walienenda katika hila kama baba zao; walikuwa sio wa kutegemewa kama upinde mbovu.
58 Kwa maana walimkasirisha kwa mahali pao pa juu na walimgadhabisha hata akawa na hasira ya wivu kwa miungu yao.
59 Mungu aliposikia hili, alikasirika na alimkataa kabisa Israeli.
Zaburi 78 in Biblia ya Kiswahili