Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 78:50-55 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 78:50-55 in Biblia ya Kiswahili

50 Aliifanyia njia hasira yake; hakuwakinga dhidi ya kifo bali aliwakabidhi kwa pigo.
51 Aliwaua wazaliwa wote wa kwanza katika Misri, wazaliwa wa kwanza wa nguvu zao katika mahema ya Hamu.
52 Aliwaongoza nje watu wake mwenyewe kama kondoo na aliwaelekeza kupitia jangwani kama kundi.
53 Aliwaongoza salama na pasipo na woga, lakini bahari iliwaelemea adui zao.
54 Kisha aliwaleta mpaka wa nchi yake takatifu, kwenye mlima huu ambao aliutwaa kwa mkono wake wa kuume.
55 Aliwafukuza mataifa mbele yao na akawapa urithi wao. Aliwakalisha makabila ya Israeli katika mahema yao.
Zaburi 78 in Biblia ya Kiswahili