Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 72:7-12 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 72:7-12 in Biblia ya Kiswahili

7 Mwenye haki na astawi kwa wakati wake, na amani iwepo kwa wingi mpaka mwezi utakapotoweka.
8 Na awe na mamlaka toka bahari na bahari, na kutoka Mto hadi miisho ya dunia.
9 Na wote waishio jangwani wainame mbele zake; adui zake na walambe mavumbi.
10 Wafalme wa Tashishi na visiwa walete kodi; wafalme wa Sheba na Seba watoe zawadi.
11 Hakika wafalme wote wamwinamie yeye; mataifa yote yamtumikie yeye.
12 Kwa kuwa yeye humsaidia mhitaji na maskini asiye na msaidizi.
Zaburi 72 in Biblia ya Kiswahili