Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 69:30-34 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 69:30-34 in Biblia ya Kiswahili

30 Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo na nitamtukuza yeye kwa shukrani.
31 Nitamsifu Yahwe zaidi kuliko ng'ombe au ndama aliye na mapembe na kwato.
32 Wanyenyekevu wameona na kufurahi; ninyi mnao matafuta Mungu, mioyo yenu itiwe nguvu.
33 Maana Yahwe husikia wenye uhitaji naye hawadharau wafungwa wake.
34 Mbingu na nchi zimsifu yeye, bahari na vyote vitembeavyo majini.
Zaburi 69 in Biblia ya Kiswahili