30 Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo na nitamtukuza yeye kwa shukrani.
31 Nitamsifu Yahwe zaidi kuliko ng'ombe au ndama aliye na mapembe na kwato.
32 Wanyenyekevu wameona na kufurahi; ninyi mnao matafuta Mungu, mioyo yenu itiwe nguvu.
33 Maana Yahwe husikia wenye uhitaji naye hawadharau wafungwa wake.
34 Mbingu na nchi zimsifu yeye, bahari na vyote vitembeavyo majini.