Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 69:21-26 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 69:21-26 in Biblia ya Kiswahili

21 Walinipa sumu kwa ajili ya chakula changu; katika kiu yangu walinipa siki ninywe.
22 Meza yao mbele yao na iwe mtego; wafikiripo wako kwenye usalama, iwe kitanzi.
23 Macho yao na yatiwe giza ili kwamba wasiweze kuona; uvifanye viuno vyao kutetemeka daima.
24 Wamwagie gadhabu yako, ukali wa hasira yako uwafikie wao.
25 Sehemu yao na iwe ukiwa; mtu yeyote asiishi katika hema yao.
26 Kwa kuwa walimtesa yule uliyempa adhabu. Mara kwa mara walihesabu maumivu ya wale walioumizwa.
Zaburi 69 in Biblia ya Kiswahili