Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 69:19-21 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 69:19-21 in Biblia ya Kiswahili

19 Wewe wajua kulaumiwa kwangu, kuaibishwa kwangu, na kudharauliwa kwangu; wapinzani wangu wote wako mbele yako.
20 Lawama imevunja moyo wangu; nimejawa na huzuni kubwa; nilitafuta mtu wa kunihurumia, lakini hakuwepo; nilitafuta wafariji, lakini sikupata.
21 Walinipa sumu kwa ajili ya chakula changu; katika kiu yangu walinipa siki ninywe.
Zaburi 69 in Biblia ya Kiswahili