Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 69:1-5 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 69:1-5 in Biblia ya Kiswahili

1 Uniokoe, Mungu; maana maji yameweka uhai wangu hatarini.
2 Ninazama kwenye kina cha matope, pasipo na hahari pa kusimama; nimekuja kwenye kina kirefu cha maji, ambako mafuriko yananifunika.
3 Nimechoka sana kwa kulia kwangu; koo langu ni kavu; macho yangu yanafifia wakati namngoja Mungu wangu.
4 Wale wanichukiao bila sababu wako zaidi ya nywele za kichwa changu; wale ambao wangeweza kuniua, wakiwa adui zangu kwa sababu zisizo sahihi, ni wengi mno; wanalazimisha nirudishe kile ambacho sijaiba.
5 Mungu, wewe unaujua ujinga wangu, na dhambi zangu hazifichiki kwako.
Zaburi 69 in Biblia ya Kiswahili