2 ili kwamba njia zako zijulikane nchi yote, wokovu wako kati ya mataifa yote.
3 Watu wakusifu wewe, Mungu; watu wote wakusifu wewe.
4 Oh, mataifa wafurahi na na kuimba kwa furaha, maana utawahukumu watu kwa haki na kuwaongoza mataifa walioko duniani.