Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 59:8-12 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 59:8-12 in Biblia ya Kiswahili

8 Lakini wewe, Yahwe, utawacheka; wewe huwadhihaki mataifa yote.
9 Mungu, nguvu yangu, nitakuwa msikivu kwako; wewe ni mnara wangu mrefu.
10 Mungu atakutana nami akiwa na uaminifu wa agano lake; Mungu atanifanya nione shauku yangu juu ya adui zangu.
11 Usiwaue, hivyo watu watasahau. Uwatawanye kwa nguvu zako na uwaangushe, Bwana ngao yetu.
12 Kwa ajili ya dhambi za midomo yao na maneno ya midomo yao, wakamatwe katika majivuno yao, na kwa laana na uongo ambao wao huelezea.
Zaburi 59 in Biblia ya Kiswahili