Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 56:7-11 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 56:7-11 in Biblia ya Kiswahili

7 Usiwaache waikimbie adhabu yako kwa ajili ya uovu wao. Uwaangushe watu chini katika hasira yako, Mungu.
8 Wewe unahesabu kutangatanga kwangu na kuweka machozi yangu kwenye chupa yako; je, hayako kitabuni mwako?
9 Ndipo maadui zangu watakimbia katika siku ile nikuitapo wewe; hili najua, kwamba Mungu yupo kwa ajili yangu.
10 Katika Mungu ambaye neno lake ninalisifu, katika Yahwe ambaye neno lake ninalisifu,
11 katika Mungu ninaamini, sitaogopa. Yeyote atanifanya nini?
Zaburi 56 in Biblia ya Kiswahili