Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 55:6-12 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 55:6-12 in Biblia ya Kiswahili

6 Nikasema, “Oh, kama tu ningekuwa na mabawa kama njiwa! Ningelipaa mbali na kupata pumziko.
7 Tazama, ningeenda mbali; ningekaa jangwani. Selah
8 Ningefanya haraka kuja mafichoni mwako kuzikimbia dhoruba na tufani.”
9 Uwaangamize, Bwana, vuruga lugha zao! Kwa maana nimeona vurugu na ugomvi katika mji.
10 Mchana na usiku wao huenda kwenye kuta zake; uchafu na ufisadi uko katikati yake.
11 Uovu uko katikati yake; ukandamizaji na uongo hauiachi mitaa yake.
12 Kwa maana hakuwa adui aliye nikemea, hivyo ningevumilia; wala ingekuwa ni yule aliye nichukia aliyejiinua mwenyewe dhidi yagu, hivyo ningejificha asinione.
Zaburi 55 in Biblia ya Kiswahili