Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 50:14-21 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 50:14-21 in Biblia ya Kiswahili

14 Mtoleeni Mungu sadaka za shukurani, na mlipe viapo vyenu kwa Aliye Juu.
15 Mniite katika siku ya shida; nami nitawaokoa
16 Lakini kwa waovu Mungu anasema, “Inawahusu nini kuitangaza hali yangu, kwamba ninyi mmeliweka agano langu mdomoni mwenu,
17 wakati ninyi mnayachukia maelekezo na mnayatupa maneno yangu?
18 Mumuanapo mwizi, ninyi hukubaliana naye; ninyi na mnashirikiana na wale wafanyao uasherati.
19 Mwautoa mdomo wenu kwa mabaya, huelezea udanganyifu.
20 Mnakaa na kuongea dhidi ya ndugu yenu; na kukashfu mwana wa mama yenu.
21 Mmefanya mambo haya, lakini nimekaa kimya, hivyo mlidhani kuwa ni mtu flani nilliye kama ninyi mlivyo. Lakini nitawakaripia ninyi na kuwafunua, mbele ya macho yenu, mambo yote miliyofanya.
Zaburi 50 in Biblia ya Kiswahili