Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 37:31-38 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 37:31-38 in Biblia ya Kiswahili

31 Sheria ya Mungu wake imo moyoni mwake; miguu yake haitelezi.
32 Mtu mwovu humvizia mwenye haki na kutafuta kumuua.
33 Yahwe hatamuacha yeye kwenye mkono wa mtu mwovu wala kumlaumu atakapohukumiwa.
34 Umngoje Yahwe na uishike njia yake, naye atakuinua uimiliki nchi. Atakapo waondosha waovu wewe utaona.
35 Nimewaona waovu na mtu wa kutisha akienea kama mti wa kijani katika udongo wa asili.
36 Lakini nilipopita tana mara nyingine, hakuwepo pale. nilimtafuta, lakini sikumpata.
37 Uwachunguze watu waadilifu, na uwatambue wenye haki; kuna hatima nzuri kwa ajili ya mtu wa amani.
38 Mwenye dhambi wataharibiwa kabisa; hatima ya mtu mwovu ni kuondoshwa.
Zaburi 37 in Biblia ya Kiswahili