9 Bali mimi nitakuwa nafuraha ndani ya Yahwe na ndani ya wokovu wake.
10 Mifupa yangu yote itasema, “Yahwe, ni nani kama wewe, uokoaye walio onewa mkononi mwa walio na nguvu kuwazidi wao na masikini na wahitaji mkononi mwa wale wanaojaribu kuwaibia?”
11 Mashahidi wa uongo wamesimama; wananishitakia uongo.
12 Kwa ajili ya wema wananilipa mabaya. Nina huzuni nyingi.