Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 35:6-12 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 35:6-12 in Biblia ya Kiswahili

6 Njia yao na iwe giza na utelezi, malaika wa Yahwe wakiwafukuzia.
7 Wamenitegea mtego bila sababu; bila sababu wamechimba shimo kwa ajili ya uhai wangu.
8 Uharibifu na uwapate wao kwa kushitukiza. Mtego ambao wameutega na uwanase wao. Na wadumbukie humo, ili kwamba waangamizwe.
9 Bali mimi nitakuwa nafuraha ndani ya Yahwe na ndani ya wokovu wake.
10 Mifupa yangu yote itasema, “Yahwe, ni nani kama wewe, uokoaye walio onewa mkononi mwa walio na nguvu kuwazidi wao na masikini na wahitaji mkononi mwa wale wanaojaribu kuwaibia?”
11 Mashahidi wa uongo wamesimama; wananishitakia uongo.
12 Kwa ajili ya wema wananilipa mabaya. Nina huzuni nyingi.
Zaburi 35 in Biblia ya Kiswahili