Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 33:7-12 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 33:7-12 in Biblia ya Kiswahili

7 Yeye huyakusanya maji ya baharini kama rundo; naye huiweka bahari katika ghala.
8 Basi ulimwengu wote umwogope Yahwe; wenyeji wote wa ulimwengu wamuhofu yeye.
9 Kwa maana yeye alisema, na ikafanyika; aliamuru, na ikasimama mahali pake.
10 Yahwe huvunja muungano wa mataifa; naye huishinda mipango ya wanadamu.
11 Mipango ya Yahwe husimama milele, mipango ya moyo wake ni kwa ajili ya vizazi vyote.
12 Limebarikiwa taifa ambalo Mungu wao ni Yahwe, watu ambao yeye amewachagua kama warithi wake.
Zaburi 33 in Biblia ya Kiswahili