Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 33:13-20 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 33:13-20 in Biblia ya Kiswahili

13 Yahwe anatazama kutoka mbinguni; yeye huona watu wote.
14 Kutokea mahali ambapo yeye anaishi, huwatazama wote waishio juu ya nchi.
15 Yeye anaye iumba mioyo yao na kuyaona matendo yao yote.
16 Hakuna mfalme anayeokolewa na jeshi kubwa; shujaa haokolewi na nguvu zake nyingi.
17 Farasi sio salama kwa ajili ya ushindi; ijapokuwa nguvu zake ni nyingi, hawezi kuokoa.
18 Tazama, macho ya Yahwe yako kwa wale wanao mhofu yeye, wale wanao litumainia agano lake takatifu
19 kuwaokoa maisha yao na mauti na kuwaweka hai wakati wa jaa.
20 Sisi tunamngoja Yahwe, yeye ni msaada wetu na ngao yetu.
Zaburi 33 in Biblia ya Kiswahili