Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 26:2-6 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 26:2-6 in Biblia ya Kiswahili

2 Unichunguze, Yahwe, na unijaribu; uujaribu usafi wa sehemu zangu za ndani na moyoni mwangu!
3 Kwa maana uaminifu wa agano lako uko mbele ya macho yangu, na mwenendo wangu ni katika uaminifu wako.
4 Mimi sichangamani na watu waovu, wala sichangamani na watu wanafiki.
5 Ninachukia waovu, na siishi na waovu.
6 Ninaosha mikono yangu kounesha sina hatia, na kuikaribia madhabahu yako, Yahwe,
Zaburi 26 in Biblia ya Kiswahili