Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 22:24-26 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 22:24-26 in Biblia ya Kiswahili

24 Kwa kuwa haja dharau au kuchukia mateso ya aliye taabishwa; Yahwe hajamficha uso wake yeye; pindi wale walio taabishwa walipo mlilia yeye, yeye alisikia.
25 Yahwe, katika kusanyiko la watu wako nitakusifu kwa yale uliyo tenda; nami nitatimiza nadhiri zangu mbele ya wale wanao muhofu yeye.
26 Walio onewa watakula na kutosheka; wale ambao humtafuta Yahwe watamsifu yeye. Mioyo yenu iishi milele.
Zaburi 22 in Biblia ya Kiswahili