Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 19:4-5 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 19:4-5 in Biblia ya Kiswahili

4 Bali maneno yao husambaa nje duniani kote, na hotuba zao hata mwisho wa dunia. Yeye ametengeneza hema kwa ajili ya jua kati yao.
5 Jua liko kama mfano wa bwana harusi akitokea chumbani kwake na kama mtu shujaa ambaye hushangila pale anapokimbia mbio zake.
Zaburi 19 in Biblia ya Kiswahili