Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 18:28-30 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 18:28-30 in Biblia ya Kiswahili

28 Kwa kuwa wewe huipa mwanga taa yangu; Yahwe Mungu wangu hutia mwanga giza langu.
29 Kwa kuwa kwa kupitia wewe ninaweza kuruka juu ya kiwazo kilichowekwa; kupitia Mungu ninaweza kuruka juu ya ukuta.
30 Kama kwa Mungu: njia yake ni kamilifu. Neno la Yahwe ni safi! Yeye ni ngao kwa yeyote anaye kimbilia katika yeye.
Zaburi 18 in Biblia ya Kiswahili