10 Alipanda kwenye kerubi na akaruka; alinyiririka kwenye mabawa ya upepo.
11 Yahwe alilifanya giza kuwa hema likimzunguka yeye, wingu la mvua zito katika mbingu.
12 Mawe ya barafu na makaa ya moto yalianguka kutoka katika mwangaza kabla yake.
13 Yahwe aliongea katika mbingu! Sauti ya aliye juu ilisikika.
14 Yeye aliifyatua mishale yake na kuwatawanya adui zake; na radi nyingi zenye mwanga alizitawanya katika maeneo tofauti tofauti.