7 Onyesha uaminifu wa agano lako katika namna ya ajabu, wewe uokoaye kwa mkono wa haki yako wale wanao kukimbilia wewe kutoka kwa adui zao.
8 Unilinde kama mboni ya jicho lako; unifiche katika kivuli cha mbawa zako
9 kutoka katika uwepo wa waovu ambao wananitusi, adui zangu wanizungukao.
10 Wao hawana huruma kwa yeyote; midomo yao huongea kwa majivuno.