Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 17:7-10 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 17:7-10 in Biblia ya Kiswahili

7 Onyesha uaminifu wa agano lako katika namna ya ajabu, wewe uokoaye kwa mkono wa haki yako wale wanao kukimbilia wewe kutoka kwa adui zao.
8 Unilinde kama mboni ya jicho lako; unifiche katika kivuli cha mbawa zako
9 kutoka katika uwepo wa waovu ambao wananitusi, adui zangu wanizungukao.
10 Wao hawana huruma kwa yeyote; midomo yao huongea kwa majivuno.
Zaburi 17 in Biblia ya Kiswahili