Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 147:9-13 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 147:9-13 in Biblia ya Kiswahili

9 Huwapa wanyama chakula na wana kunguru waliapo.
10 Hapati furaha katika nguvu ya farasi, wala haridhii miguu imara ya mwanadamu.
11 Yahwe huridhia katika wale wanao muheshimu yeye, watumainio katika uaminifu wa agano lake.
12 Msifuni Yahwe, Yerusalemu, msifuni Mungu wenu, Sayuni.
13 Maana yeye huyakaza mapingo ya malango yako, huwabariki watoto wako kati yako.
Zaburi 147 in Biblia ya Kiswahili