10 Hapati furaha katika nguvu ya farasi, wala haridhii miguu imara ya mwanadamu.
11 Yahwe huridhia katika wale wanao muheshimu yeye, watumainio katika uaminifu wa agano lake.
12 Msifuni Yahwe, Yerusalemu, msifuni Mungu wenu, Sayuni.
13 Maana yeye huyakaza mapingo ya malango yako, huwabariki watoto wako kati yako.
14 Huletamafanikio ndani ya mipaka yako, hukutosheleza kwa ngano bora.