Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 119:92-98 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 119:92-98 in Biblia ya Kiswahili

92 Kama sheria yako isingekuwa furaha yangu, ningeangamia katika mateso yangu.
93 Sitayasahau kamwe maagizo yako, maana kupitia hayo umeniweka hai.
94 Mimi ni wako, kwa maana ninayatafuta maagizo yao.
95 Waovu hujiandaa kuniangamiza, lakini nitatafuta kuzielewa amri za agano lako.
96 Nimeona kuwa kila kitu kina mipaka, lakini amri zako ni pana, zaidi ya mipaka. MEM.
97 Oh ni jinsi gani naipenda sheria yako! Ni tafakari yangu mchana kutwa.
98 Amri zako hunifanya mwenye hekima kuliko adui zangu, maana amri zako siku zote ziko pamoja nami.
Zaburi 119 in Biblia ya Kiswahili