Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 119:136-141 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 119:136-141 in Biblia ya Kiswahili

136 Mito ya machozi yatiririka kutoka machoni pangu kwa sababu watu hawaitii sheria yako. TSADHE.
137 Wewe ni mwenye haki, Yahwe, na amri zako ni haki.
138 Umezipa amri za agano lako haki na uaminifu.
139 Hasira imeniangamiza kwa sababu adui zangu husahau maneno yako.
140 Neno lako limepimwa sana, naye mtumishi wako analipenda.
141 Sina umuhimu na ninadharauliwa, lakini bado siyasahau maagizo yako.
Zaburi 119 in Biblia ya Kiswahili