Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 1

Yohana 1:3-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Vitu vyote vilifanyika kupitia yeye, na pasipo yeye hakuna hata kitu kimoja kilichokuwa kimefanyika.
4Ndani yake kulikuwa uzima, na huo uzima ulikuwa nuru ya wanadamu wote.
5Nuru yang'aa gizani, wala giza halikuizimisha.

Read Yohana 1Yohana 1
Compare Yohana 1:3-5Yohana 1:3-5