Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yeremia 41:13-15 in Swahili (individual language)

Help us?

Yeremia 41:13-15 in Biblia ya Kiswahili

13 Kisha ilitokea kwamba wakati watu wote ambao walikuwa na Ishmael kuona Yonathani mwana wa Karea na amri wote wa jeshi ambao walikuwa pamoja naye, walikuwa na furaha.
14 Basi watu wote ambao Ishmael alikuwa amewashika huko Mizpa waligeuka na kwenda kwa Yonathani mwana wa Karea.
15 Lakini Ishmael mwana wa Nethania alitoroka na wanaume wanane toka kwa Yonathani. Alienda kwa watu wa Ammon.
Yeremia 41 in Biblia ya Kiswahili