Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 8:21-26 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 8:21-26 in Biblia ya Kiswahili

21 katika mapito ambayo huelekea kwenye haki, ili niwape urithi wale wanaonipenda na kuzijaza hazina zao.
22 Yehova aliniumba tokea mwanzo- mwazoni mwa matendo yake ya nyakati za kale.
23 Tokea enzi za kale niliwekwa katika nafasi- tokea kwanza, tokea mwanzo wa dunia.
24 Kabla ya bahari, mimi nilizaliwa- kabla ya kuwepo chemchemi zenye maji tele.
25 Kabla ya milima na vilima kuwekwa, mimi nilizaliwa.
26 Nilizaliwa kabla ya Yehova hajaiumba dunia wala makonde, hata mavumbi ya kwanza katika dunia.
Mithali 8 in Biblia ya Kiswahili