Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 30:1-4 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 30:1-4 in Biblia ya Kiswahili

1 Maneno ya Aguri mwana wa Yake - mausia: Mtu huyu alimwambia Ithieli, kwa Ithiel na Ukali:
2 Hakika nipo kama mnyama kuliko mwanadamu na sina ufahamu wa wanadamu.
3 Sijajifunza hekima, wala sina maarifa ya Mtakatifu.
4 Je ni nani amekwenda juu mbinguni na kurudi chini? Je ni nani aliyekusanya upepo kwenye mikono yake? Je ni nani aliyekusanya maji kwenye kanzu? Je ni nani aliyeziimarisha ncha za dunia yote? Jina lake ni nani, na jina la mtoto wake ni nani? Hakika unajua!
Mithali 30 in Biblia ya Kiswahili