Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 29:5-13 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 29:5-13 in Biblia ya Kiswahili

5 Mtu anayejipendekeza kwa jirani yake anatandaza wavu kwenye miguu yake.
6 Mtu mbaya hunaswa kwenye mtego wa dhambi yake mwenyewe, bali yeye atendaye haki huimba na kufurahi.
7 Atendaye haki hutetea madai ya masikini; mtu mwovu hafahamu maarifa kama hayo.
8 Mwenye dhihaka huutia moto mji, bali wale wenye busara huigeuza ghadhabu.
9 Mtu mwenye busara anapojadiliana na mpumbavu, hughadhabika na kucheka, hakutakuwa na utulivu.
10 Mkatili humchukia mwenye ukamilifu na hutafuta maisha ya mwenye haki.
11 Mpumabavu huonyesha hasira yake, bali mtu mwenye busara huishikilia na kujituliza mwenyewe.
12 Kama matawala atazinagatia uongo, maafisa wake wote watakuwa waovu.
13 Mtu masikini na mkandamizaji wanafanana, maana Yehova huyapa nuru macho yao wote.
Mithali 29 in Biblia ya Kiswahili