Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 25:2-5 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 25:2-5 in Biblia ya Kiswahili

2 Ni utukufu wa Mungu kuficha jambo, bali utukufu wa wafalme kutafiti juu ya jambo.
3 Kama mbingu ni kwa kimo na dunia ni kwa kina, ndivyo hivyo moyo wa wafalme hauchunguziki.
4 Ondoa takataka kutoka kwenye fedha na mfua vyuma anaweza kutumia fedha katika ufundi wake.
5 Pamoja na hayo, waondoe watu waovu mbele ya mfalme na kiti chake cha enzi kitaimarishwa kwa kutenda haki.
Mithali 25 in Biblia ya Kiswahili