Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 1:7-10 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 1:7-10 in Biblia ya Kiswahili

7 Hofu ya Yehova ni chanzo cha maarifa- wapumbavu hudharau hekima na nidhamu.
8 Mwanangu, sikia fundisho la baba yako na wala usiziache kanuni za mama yako;
9 zitakuwa kilemba cha neema katika kichwa chako na jebu zinazoning'inia kwenye shingo yako.
10 Mwanangu wenye dhambi wakikushawishi katika dhambi zao, kataa kuwafuata.
Mithali 1 in Biblia ya Kiswahili