Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 1:3-6 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 1:3-6 in Biblia ya Kiswahili

3 ili mpate maarifa kwa ajili ya kuishi kwa kutenda wema, haki na adili.
4 Mithali hizi zinatoa hekima kwa wale ambao hawakufunzwa, na kuwapa vijana maarifa na hadhari.
5 Watu wenye busara wasikie na kuongeza elimu yao na watu wenye ufahamu wapate mwongozo,
6 kwa kuelewa mithali, misemo, vitendawili na maneno ya wenye busara.
Mithali 1 in Biblia ya Kiswahili