Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 1:13-19 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 1:13-19 in Biblia ya Kiswahili

13 Tutapata vitu vyote vya thamani; tutazijaza nyumba zetu vile tunavyoiba kwa wengine.
14 Weka vitu vyako kwetu; tutakuwa na mfuko moja kwa pamoja.”
15 Mwanangu, usitembee katika njia moja pamoja nao; usiruhusu mguu wako kugusa katika mapito yao;
16 miguu ya hukimbilia mabaya na huharakisha kumwaga damu.
17 Kwa kuwa haina maana kumtegea ndege mtego wakati ndege anaona.
18 Watu hawa huvizia kujiua wenyewe—wanatega mtego kwa ajili yao wenyewe.
19 Ndivyo zilivyo njia za kila ambaye hupata utajiri kwa udhalimu; mapato ya udhalimu huondoa uhai wa wenye utajiri.
Mithali 1 in Biblia ya Kiswahili