Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 1:11-16 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 1:11-16 in Biblia ya Kiswahili

11 Kama watasema, “haya tufuatae, tuvizie ili kufanya mauaji, tujifiche ili tuwashambulie watu wasio na hatia, pasipo sababu.
12 Haya tuwameza wakiwa hai, kama kuzimu inavyowachukua wenye afya, na kuwa kama wale waangukao kwenye shimoni.
13 Tutapata vitu vyote vya thamani; tutazijaza nyumba zetu vile tunavyoiba kwa wengine.
14 Weka vitu vyako kwetu; tutakuwa na mfuko moja kwa pamoja.”
15 Mwanangu, usitembee katika njia moja pamoja nao; usiruhusu mguu wako kugusa katika mapito yao;
16 miguu ya hukimbilia mabaya na huharakisha kumwaga damu.
Mithali 1 in Biblia ya Kiswahili