Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 19:20-25 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 19:20-25 in Biblia ya Kiswahili

20 Sikiliza ushauri na ukubali maelekezo, ili uweze kuwa na hekima mwishoni mwa maisha yako.
21 Moyoni mwa mtu kuna mipango mingi, bali kusudi la Yehova ndilo litakalo simama.
22 Shauku ya mtu ni uaminifu na mtu masikini ni bora kuliko muongo.
23 Kumheshimu Yehova huwaelekeza watu kwenye uzima; mwenye nayo atashibishwa na hatadhurika kwa madhara.
24 Mtu goigoi huuzika mkono wake ndani ya dishi; hataurudisha juu ya kinywa chake.
25 Kama utampiga mwenye mzaha, wajinga watakuwa na hekima; mwelekeze mwenye ufahamu, naye atapata maarifa.
Mithali 19 in Biblia ya Kiswahili