Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 19:18-22 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 19:18-22 in Biblia ya Kiswahili

18 Mrudi mwanao wakati kuna matumaini na usiwe na shauku ya kumweka katika mauti.
19 Mtu mwenye hasira kali lazima alipe adhabu; kama ukimwokoa, utafanya hivyo mara mbili.
20 Sikiliza ushauri na ukubali maelekezo, ili uweze kuwa na hekima mwishoni mwa maisha yako.
21 Moyoni mwa mtu kuna mipango mingi, bali kusudi la Yehova ndilo litakalo simama.
22 Shauku ya mtu ni uaminifu na mtu masikini ni bora kuliko muongo.
Mithali 19 in Biblia ya Kiswahili