Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 14:25-28 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 14:25-28 in Biblia ya Kiswahili

25 Shahidi mkweli huokoa maisha, bali shahidi wa uongo hupumua uongo.
26 Mtu anapokuwa na hofu ya Yehova, pia anakuwa na matumaini zaidi ndani yake; vitu hivi vitakuwa kama sehemu imara ya ulinzi kwa watoto wa mtu huyu.
27 Kumcha Yehova ni chemchemi ya uzima, ili kwamba mtu aweze kujiepusha kutoka katika mitego ya mauti.
28 Utukufu wa mfalme upo katika idadi kubwa ya watu wake, bali pasipo watu mfalme huangamia.
Mithali 14 in Biblia ya Kiswahili